KENYA ELECTION TODAY - DEEPEN TZ

DEEPEN TZ

Welcome to our blog. We give what is right for you

Tech News

test banner

Breaking

Home Top Ad

DEEPEN TZ

Post Top Ad

DEEPEN TZ

Monday, August 7, 2017

KENYA ELECTION TODAY



Uchaguzi nchini Kenya ni leo hii ya tarehe 8/8/2017. ni uchaguzi wa raisi mwingine atakayeiongoza nchi hiyo katika kipindi kingine. kampeni za uchaguzi zilisitisha hapo juzi na leo kila mwananchi wa nchi hiyo mwenye vigezo vyote anmchagua anaemtaka awe raisi wake. Uhuru Kenyata na Laila Odinga ndio wagombeaji wakubwa nchini hapo na wao wakiwa mameweza kuonesha hali ya kilamwanachi kutokuwa na hofu yoyote maana wamewaahidi wakenya kuendelea na amani daada ya misukosuko ya kisiasa. Hili lilidhibitika pale waheshimiwa hawa walipokutana pamoja na kusalimiana kwa furaha

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages